Tuesday, 13 May 2014

RICHIE AIRUDISHA BONGO MOVIE KWENYE MSTARI!!

Single Mtambalike ‘Richie’.
Reading More

WEMA AWAGOMBANISHA DIAMOND, PREZZO !!! NINI ZAIDI SOMA APA!!

RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul  ‘Diamond’ yuko ndani ya bifu zito na mwanamuziki kiwango cha juu kutoka nchini Kenya, Jackson Ngechu Makini ‘Prezzo’ chanzo kikidaiwa ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu.
Diva wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu 'Beautiful Onyinye'.
Reading More

LULU KERO BONGO MOVIE!!! NINI ZAIDI SOMA APA!!


WAMEANZA! Tabia ya staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ ya kutojumuika na wenzake kwenye matukio ya kijamii hasa matatizo inadaiwa kuwakera Klabu ya Bongo Movie Unity hivyo kuandaa kikao maalum cha kumkanya.
Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’.
Reading More

WANAMUZIKI 5 TWANGA HOI KWA DENGUE

HOMA ya Dengue imezidi kuwa tishio jijini Dar es Salaam, ambapo wanamuziki watano wa Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta International’, wamekumbwa na ugonjwa huo, habari zimefika katika dawati la Risasi Mchanganyiko.


Mmoja wa wanamuziki wa Twanga anayesumbuliwa na Homa ya Dengue,
Reading More

LAANA ZAIDI!!





Reading More

DIAMOND PLATINUMZ ATUA UINGEREZA TAYARI KWA KUSHOOT VIDEO !!

 Mshindi wa tuzo saba za KTMA 2014 Nasib Abdul aka Diamond Platnumz aka ‘Chibu’ na Ommy Dimpoz wameondoka Tanzania jana kuelekea nchini Uingereza.
diamond n Ommy Platnumz na Dimpoz wakati wa safari yao ya UK jana
Reading More

18++ PLEASE!!



Reading More
Powered By Blogger · Designed By Seo Blogger Templates